Usages of mkulima
Katika kijiji chetu, wakulima huuza mazao yao baada ya kuyachanganya kufuatana na ubora.
In our village, farmers sell their produce after mixing them according to quality.
Mkulima anatembea shambani.
The farmer is walking at the farm.
Ukame ukiendelea, wakulima watakosa maji mashambani.
If the drought continues, farmers will lack water in the fields.
Wakulima walipata mbolea kupitia hisani ya serikali.
Farmers received fertilizer through government donation.
Yule ndiye mkulima aliyesambaza mbegu bora wiki iliyopita.
That is the farmer who distributed the good seeds last week.
Wakulima wanatumia mbegu bora kuzalisha mahindi mengi.
Farmers use good seeds to produce a lot of maize.
Mtaalamu wa kilimo amefika leo kuwashauri wakulima kuhusu mbegu bora.
An agriculture expert has arrived today to advise farmers on good seeds.
Elon.io is an online learning platform
We have an entire course teaching Swahili grammar and vocabulary.